shabanishakeel.blogspot.com
VIDEO MPYA YA Lady jaydee ft Dabo Forever (Official Video HD/2k/4k) SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2014/12/video-mpya-ya-lady-jaydee-ft-dabo.html
Dec 1, 2014. VIDEO MPYA YA Lady jaydee ft Dabo Forever (Official Video HD/2k/4k). 0 Weka maoni yako hapa:. Subscribe to: Post Comments (Atom). Dar Es Salaam Time. MSAADA WA MAREKANI NA UCHAGUZI WA ZANZIBAR na Ibrahim Haruna Lipumba. MSAADA WA MAREKANI NA UCHAGUZI WA ZANZIBAR Moja ya mafanikio makubwa ya Rais Kikwete ni kuimarisha uhusiano wa Tanzania na mataifa . MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015. TAMKO LA CUF BAADA YA TANKO LA CCM KUHUSU MSTAKABALI WA ZANZIBAR. Hapa ndipo alipozikwa Shekh ILUNGA...
shabanishakeel.blogspot.com
HII NDIO KAURI YA MAKAMBA ALIYOITOA KUFUATIA MAKUNDI KWA MAKUNDI KWENDA NYUMBANI KWA LOWASA MJINI DODOMA SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2015/03/hii-ndio-kauri-ya-makamba-aliyoitoa.html
Mar 23, 2015. HII NDIO KAURI YA MAKAMBA ALIYOITOA KUFUATIA MAKUNDI KWA MAKUNDI KWENDA NYUMBANI KWA LOWASA MJINI DODOMA. Nafasi ya Urais ni nafasi ya hadhi na heshima kubwa. Unapoiomba hupaswi kufanya michezo ya kuigiza. Huu utaratibu wa kuratibu watu, kuwasafirisha, kuwapa posho na ubwabwa waje kukuomba kugombea ni michezo ya kuigiza ambayo ni aibu kubwa. Viongozi wanaokubalika na watu hawangaiki kupanga Viti na mahema na kuwapiga picha watu wanaowakubali. Hata Mzee Makamba, pamoja na umri wake wa miaka ...
shabanishakeel.blogspot.com
SIKILIZA MUSIC HAPA | SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/p/sikiliza-music-and-download.html
NGOMA MPYA YA DIVA. NGOMA ZA SHENKO MANYOTA. 0 Weka maoni yako hapa:. Dar Es Salaam Time. MSAADA WA MAREKANI NA UCHAGUZI WA ZANZIBAR na Ibrahim Haruna Lipumba. MSAADA WA MAREKANI NA UCHAGUZI WA ZANZIBAR Moja ya mafanikio makubwa ya Rais Kikwete ni kuimarisha uhusiano wa Tanzania na mataifa . MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015. 160; Jumla ya wanafunzi 503,914 kati ya 518,034 waliofaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi,wamechaguliwa kujiunga na kidato cha . Tunda Man qaswida- tufunge na kuswali.
shabanishakeel.blogspot.com
Ndugu ya Adebayor aomba msamaha SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2015/05/ndugu-ya-adebayor-aomba-msamaha.html
May 12, 2015. Ndugu ya Adebayor aomba msamaha. Ndugu wa mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo kumshtumu katika mtandao wa facebook na watu wengine wa familia yake. Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba msamaha kwa makosa aliyofanya,na kwamba angependelea nduguye arudi katika familia. Amesema kuwa anazitaka familia nyangine barani afrika kupata funzo kutoka kwake. 0 Weka maoni yako hapa:. Subscribe to: Post Comments (Atom). Dar Es Salaam Time.
shabanishakeel.blogspot.com
HII NDIO QASWIDA MPYA ILIYOPIGWA NA TUNDA MANI SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2013/07/hii-ndio-qaswida-mpya-iliyopigwa-na.html
Jul 25, 2013. HII NDIO QASWIDA MPYA ILIYOPIGWA NA TUNDA MANI. Tunda Man qaswida- tufunge na kuswali. 0 Weka maoni yako hapa:. Subscribe to: Post Comments (Atom). Dar Es Salaam Time. MSAADA WA MAREKANI NA UCHAGUZI WA ZANZIBAR na Ibrahim Haruna Lipumba. MSAADA WA MAREKANI NA UCHAGUZI WA ZANZIBAR Moja ya mafanikio makubwa ya Rais Kikwete ni kuimarisha uhusiano wa Tanzania na mataifa . MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015. TAMKO LA CUF BAADA YA TANKO LA CCM KUHUSU MSTAKABALI WA ZANZIBAR. Hapa ndipo alip...
shabanishakeel.blogspot.com
MSAFARA WA CUF WASHAMBULIWA ZANZIBAR SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2015/03/msafara-wa-cuf-washambuliwa-zanzibar.html
Mar 30, 2015. MSAFARA WA CUF WASHAMBULIWA ZANZIBAR. Wanachana wa Chama cha wananchi CUF wamevamiwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana. Kitendo hicho cha uvamizi wa msafara huo uliokua ukitokea katika mkutano wa hadhara makunduchi. Watu hao walivamia msafara huo maeneo ya fuoni meli tano na kujeruhi watu kadhaa. Hawa ni baadhi ya majeruhi. Tunapenda kuwapa pole walikutwa na matatizo haya ila tunawashauri Wazanzibari waachane na siasa za uhasama hizi. 0 Weka maoni yako hapa:. Dar Es Salaam Time. CUF YAKOS...
shabanishakeel.blogspot.com
TAZAMA PICHA ZA VITUKO VYA FACEBOOK KWA WIKI HII SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2013/04/tazama-picha-za-vituko-vya-facebook-kwa.html
Apr 29, 2013. TAZAMA PICHA ZA VITUKO VYA FACEBOOK KWA WIKI HII. KINYOZI AKIMALIZIA KAZI YAKE WAKATI TANESCO WAMECHUKUA UMEME WAO. WATU WA MBAGARA HATA NDEGE WATASIMAMA HADI MLANGONI. MTAANI KWAO WANAMUITA JOHN CENA. KUVUA SIO LAZIMA BAHARI POPOTE PALIPO NA MAJI PANAFAA. BIBI NAE ANAKWENDA PUNA UPEPO BEACH. WATU WA MBAGARA MANZEZE TEGETA NA GOMZ HAWATUPI KITU KWENYE KUKU. MASHABIKI WA LIVERPOOL WANAONA MCHEZAJI WAO KAONEWA. WASHABIKI WA YANGA WANAPO GEUKA WATANGAZAJI TAIFA. 0 Weka maoni yako hapa:. CUF YA...
shabanishakeel.blogspot.com
Vyanzo: Sakata la Diamond kuvaa sare za jeshi, Babu Tale ashikiliwa na polisi, Kamanda wa polisi azungumza SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2014/10/vyanzo-sakata-la-diamond-kuvaa-sare-za.html
Oct 22, 2014. Vyanzo: Sakata la Diamond kuvaa sare za jeshi, Babu Tale ashikiliwa na polisi, Kamanda wa polisi azungumza. Kufuatia tukio la Diamond Platinumz kuonekana akiperform na sare zinazoaminika kuwa za jeshi la Wananchi (JWTZ), imeelezwa kuwa jeshi la Polisi limemshikilia meneja wa Diamond, Babu Tale na inaelezwa kuwa alilala selo. Chanzo hicho kimeeleza kuwa Uongozi wa Diamond ulipewa muda wa kujieleza kabla ya saa mbili asubuhi, October 21 lakini haukufanya hivyo na ndipo hatua hiyo ikachukuliwa.
shabanishakeel.blogspot.com
HIII NDIO HOTUMA YA MH: ZITTO ALIYOTAKA KUISOMA JANA BUNGENI DODOMA SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2015/03/hiii-ndio-hotuma-ya-mh-zitto-aliyotaka.html
Mar 20, 2015. HIII NDIO HOTUMA YA MH: ZITTO ALIYOTAKA KUISOMA JANA BUNGENI DODOMA. Hotuba Niliyotaka Kuitoa Bungeni Jana. Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mkoa wa Kigoma. Mheshimiwa Spika, kwamba chama cha siasa kinaweza kumvua uanachama mwanachama wake na hivyo kupoteza kiti chake cha uwakilishi wa wananchi wake ni...
shabanishakeel.blogspot.com
EMERSON ASAINI YANGA RASMI LEO SHAKEEL INVESTMENT
http://shabanishakeel.blogspot.com/2014/12/emerson-asaini-yanga-rasmi-leo.html
Dec 1, 2014. EMERSON ASAINI YANGA RASMI LEO. Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari wa klabu Baraka Kizuguto. Kiungo Emerson De Oliveira Neves Roque leo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu ya Young Africans baada ya benchi la ufundi kuridhika na uwezo wake,na mchezaji mwenyewe kufikia makubaliano hayo ya kuwatumikia watoto wa Jangwani. 0 Weka maoni yako hapa:. Subscribe to: Post Comments (Atom).
SOCIAL ENGAGEMENT